The House of Social Media
gunners X
Browsing Tag

Cristiano Ronaldo

Bosi Juventus: Ronaldo Hauzwi

CRISTIANO Ronaldo ataendelea kubaki kuichezea Juventus hadi mwishoni mwa mkataba wake, hivyo ni kwa mujibu wa kigogo wa klabu hiyo. Makamu wa Rais wa Juventus, Pavel Nedved ameyaweka wazi hayo baada ya kuwa na tetesi kuwa…

RONALDO AREJEA TIMU YA TAIFA

STAA wa Ureno, Cristiano Ronaldo, ameitwa kwa mara kwanza kwenye timu ya taifa ya nchi hiyo kuanzia walipoondolewa kwenye Kombe la Dunia. Ureno hawakufanya vizuri kwenye Kombe la Dunia na uongozi wa soka wa nchi hiyo…

RONALDO AFICHUA ATAPOSTAAFIA

STRAIKA wa Juventus, Cristiano Ronaldo amefi chua kuwa atamalizia soka lake nchini Ureno baada ya kumalizana na klabu yake ya sasa. Ronaldo, ambaye alijiunga na Juventus msimu huu akitokea Real Madrid, mkataba wake unatazamiwa kumalizika…

Ronaldo Agawa 53m Ya Zawadi

MUDA mfupi baada ya kuanza maisha ya kuwa mchezaji wa Juventus, Cristiano Ronaldo ameonyesha kuwa yeye ni mtu wa watu. Ronaldo, 33, alikuwa nchini Italia siku kadhaa zilizopita ili kukamilisha dili lake la kusajiliwa na…