ESMA: NIMEMMISI MOBETO
WIFI zilipendwa! Dada wa mkali wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond platnumz’, Esma Khan ‘Esma Platnumz’ amefunguka juu ya urafiki wake na mwanamitindo maarufu Bongo, Hamisa Mobeto na kusema alikuwa rafiki mzuri kwake hivyo…
