The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

Davina

Davina: Shilole ni mwanamke na nusu

MSANII wa Bongo Muvi, Halima Yahaya ‘Davina’ amefunguka kuwa anamkubali sana msanii mwenzake Zuwena Mohammed ‘Shilole’ kwa sababu ni mtu ambaye hafeki maisha, anaishi atakavyo.  Akizungumza na Risasi Vibes, Davina amesema kuwa kwa…

DAVINA: SITAKI KUTUMIKA TENA

Muigizaji mkongwe Bongo Muvi, Halima Yahaya 'Davina' amefunguka kuwa hapendi tena kutumika kwa wanaume ambao hawana msimamo katika maisha yake dhidi ya kujizeesha.  Akizungumza na Za Motomoto, Davina alisema huko nyuma mtu…

Davina: Kuachika Kumenifunza

MUIGIZAJI wa Bongo Muvi, Halima Yayaha ‘Davina’ amefunguka kuwa hata kama hajapata bahati ya kukaa na mume muda mrefu kama mke lakini kumemfunza kujua maisha mbalimbali na kuwa shupavu kwa mapito aliyopitia. Akizungumza na…

DAVINA Atumika Kwenye Utapeli

STAA wa filamu za Kibongo, Halima Yahaya ‘Davina’ amejikuta anaingia kwenye kashfa ya utapeli baada ya mtu ambaye hajafahamika kutumia jina lake kutapeli watu kupitia Mtandao wa Facebook. Akiongea na Risasi Jumamosi, Davina…

DAVINA: KAMWE SIJIHUSISHI NA UNGA

 Halima Yahaya ‘Davina’ MUIGIZAJI mahiri wa Bongo Movies, Halima Yahaya ‘Davina’ amefungukia safari zake zake za Dubai akisema ni kwa ajili ya biashara halali na si biashara haramu ya madawa ya kulevya (unga). Akizingumza na Amani…

Davina Atetea Viben’ten

LICHA ya wengi kuwaponda wanawake wenye umri mkubwa wanaokuwa na uhusiano wa kimapenzi na wanaume wadogo kiumri ‘viben’ten’, staa wa filamu za Kibongo, Halima Yahya ‘Davina’ amewatetea kwa kusema siyo vibaya kwani mapenzi hayana umri.…

Davina Apagawishwa na Keki

DAR ES SALAAM: Mwigizaji wa kitambo Bongo, Halima Yahya ‘Davina’ juzikati alisherehekea siku yake ya kuzaliwa ‘birthday’ ambapo alijumuika na marafi ki zake kwenye Ukumbi wa Sparrows Launge uliopo Dar Free Market, Dar, lakini…

Davina Amshauri Jambo Mwakyembe!

Na GLADNESS MALLYA| RISASI MCHANGANYIKO| ZA MOTOMOTO NEWS NYOTA wa filamu nchini, Halima Yahaya ‘Davina’ amemtaka Waziri Mpya wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe kuendeleza mambo mazuri yaliyoanzishwa na…

Mnaigeria Kuipa Shavu Bongo Muvi

MSANII wa Filamu kutoka Nigeria, Mike Ezuruonye, ‘Mikezuu’ jana alipokelewa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere kwa ziara ya kikazi. Mike amefunguka kuwa yupo nchini kikazi kuimalizia moja ya filamu…

Davina Afungukia Kuidai CCM

Na BONIPHACE NGUMIJE| GAZETI LA UWAZI| SHOWBIZ  MWANADADA anayefanya vyema kwenye tasnia ya filamu  nchini, Halima Yahaya ‘Davina’ hivi karibuni amefunguka kuwa kwa upande wake hakidai hata senti tano Chama Cha Mapinduzi (CCM), maana…

Davina: Magufuli ametunyoosha!

IMELDA  MTEMA, Gazeti la Risasi Jumamosi, Toleo la Januari 21, 2017 MTOTO mzuri Bongo Movies, Halima Yahaya ‘Davina’, ameweka ‘plain’ kuwa uongozi wa Rais Dk. John Pombe Magufuli si wa mchezomchezo kwani ili uweze kuishi, lazima utoke…

Davina aanika ‘mazagazaga’…

Staa wa filamu Bongo, Halima Yahaya ‘Davina’. Imelda mtema Staa wa filamu Bongo, Halima Yahaya ‘Davina’ hivi karibuni alianika ‘mazagazaga’ yake aliyoyapamba kwenye kiuno chake alipokuwa kwenye kibao kata cha ndugu yake kilichofanyika…