DC Jokate, Wafanyakazi wa DCB Benki Wafanya Usafi
Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Jokate Mwegelo ameungana na kufanya usafi pamoja na wafanyakazi wa Benki ya Biashara ya DCB katika siku ya usafi ya mwisho wa mwezi iliyofanyika kiwilaya katika kata ya Keko…
