Na Salum Milongo/GPL
MASHABIKI wa muziki wa Bongo Fleva nchini wamekuwa wakisambaza picha ya mwanamuziki nyota, Nassib Abdul ‘Diamond Platnumz’, ikimuonyesha akiwa katika hali duni tofauti na ukwasi alionao hivi sasa.
Mashabiki…
WAKATI Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli akimpongeza msanii wa muziki, Nasibu Abdul ‘Diamond’ kwa kujaaliwa kupata mtoto wa pili ambaye ni Nillan, baba mzazi wa msanii huyo, Juma Abdul amesema kuna…
AKIFANYA mahojiano katika kipindi cha Leo Tena cha Clouds Fm, Zarina Hassan, ‘Zari the Boss Lady’ sambamba na mpenzi Diamond Platnumz, Zari amesikika akimjibu mtandazaji wa kipindi hicho Mussa Hussein pale alipoulizwa kama anajua…
Daimond Platnumz
DAR ES SALAAM: Ijumaa Januari 20, 2017 Alama 21 zinazodaiwa ni chale zinazopatikana mgongoni mwa mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ zimezua mambo baada ya juzikati picha yake kutupiwa mtandaoni ikizionesha kwa…
Mwanamuziki aliyejipatia umaarufu mkubwa, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’.
Musa mateja, ijumaa
Dar es Salaam: Hii ni zaidi ya kufuru! Mwanamuziki aliyejipatia umaarufu mkubwa, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ au ukipenda muite Simba…