Diamond Alipwa Mil. 200 Kwa Dakika 30, Amuunga Mkono Raila Odinga
DIAMOND PLATNUMZ; ni staa mkubwa wa muziki barani Afrika ambaye ameweka rekodi nyingine ya kulipwa pesa nyingi za shoo ndani ya muda mfupi.
Jumamosi iliyopita ya Agosti 6, 2022 Diamond au Mondi alikuwa mmoja wa watumbuizaji…
