The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

DIAMOND PLATNUMZ.

Mrembo wa Mondi amtisha Zari

UBUYU wa ndani kabisa unadai kwamba, baby mama wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ alifikia hatua ya kusitisha uwepo wake Bongo, muda mfupi baada ya kusambaa kwa tetesi za jamaa…

Wasafi Wamkalia Kooni Kiba

TIMU ya Lebo ya Wasafi Classic Baby (WCB) iliyo chini ya mkali, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, imemkali kooni Mfalme wa Bongo Fleva, Ali Saleh Kiba ‘King Kiba’. Hatua hii imekuja baada ya Lebo ya Kings Music iliyo chini…

Mimba ya mama Yadaiwa Kuyeyuka

KUMEKUCHA! Imebainika kuwa mimba ambayo Mama mzazi wa staa mkubwa wa muziki barani Afrika na bosi wa Lebo ya Wasafi Classic Baby (WCB), Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ au ‘Mondi’, Sanura Kassim ‘Mama Dangote’, aliyodaiwa kuwa anayo,…