The House of Social Media
gunners X
Browsing Tag

Dida

Dida Mambo Magumu Ihefu

KAZI inaonekana kuwa nzito kwa kipa namba moja wa Klabu ya Ihefu FC, Deogratius Munish, ‘Dida’ kwenye kulinda ngome yake kwa kuwa amekuwa akitunguliwa kwenye mechi zake uwanjani. Akiwa ni ingizo jipya dirisha dogo la…

Bocco Amuachia Balaa Dida

JOHN Bocco, nahodha wa Simba, ameacha balaa kwa Lipuli baada ya kuwafunga bao kwenye ushindi walioupata Simba mbele ya Lipuli kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Februari 15 Uwanja wa Samora kwa kumtungua mlinda mlango Deogratius…

Hatimaye Dida Atua Lipuli

GOLIKIPA wa zamani wa vilabu vya Simba na Yanga,  Deogratius MunishI ‘Dida’ ni miongoni mwa wachezaji wapya tisa waliojiunga na Lipuli FC katika kipindi kifupi cha usajili (dirisha dogo) kilichofungwa Januari 15, 2020. Dida…

Dida Ajiweka Sokoni

KIPA wa zamani wa Simba, Deogratius Munishi ‘Dida’ amejiweka sokoni katika usajili wa dirisha dogo kwa kuzikaribisha timu ambazo zitamuhitaji. Dida ambaye kwa sasa anajishughulisha na kilimo, aliachwa na Simba…

DIDA KUTIMKIA SAUZ

BAADA ya mlinda mlango namba mbili wa Simba, Deogratius Munishi ‘Dida’ kuwaaga mashabiki wa Simba, sasa huenda akarejea kukipiga tena Afrika Kusini. Dida alisajiliwa na Simba akitokea Amatuks ya Afrika Kusini kwa kandarasi…

DIDA: HABARI ZA NDOA TUPA KULE

LICHA ya kusifika kwa kuwa na bahati ya kuolewa mara nyingi, mtangazaji maarufu wa Redio Times, Khadija Shahibu ‘Dida’ amefunguka kuwa hataki kusikia kitu kinachoitwa ndoa kwani anaona kama inamuongezea maradhi ya vidonda vya tumbo…

DIDA AZUA GUMZO UKUMBINI

HUYU naye! Mtangazaji wa Kipindi cha Mitikisiko ya Pwani cha Redio Times FM ya jijini Dar, Khadija Shaibu ‘Dida’ amegeuka habari na kuwa gumzo ukumbini.  Dida aligeuka gumzo hivi karibuni mkoani hapa katika shughuli ya bethidei ya mdogo…

Dida Agoma Kurudi Yanga

KIPA wa zamani wa Yanga, Deogratius Munishi ‘Dida’, ameweka wazi kuwa hana mpango wa kurejea kucheza tena nchini katika timu yoyote ya Ligi Kuu Bara ikiwemo Yanga kwa kuwa anataka kufika mbali zaidi katika upande wa soka la kulipwa.…