The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

diwani

Diwani Pekee wa Chadema Ala Kiapo

DIWANI wa kata ya Uhenga aliyeshinda katika uchaguzi mkuu kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Alfan Kawambwa,  ameungana na madiwani wengine 27 wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kula kiapo cha uadilifu cha kuwatumikia…

Mgombea Aangusha Kibuyu Akiomba Kura

KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, mmoja wa wagombea wa udiwani Kata ya Sungwizi, Katambi Sospeter,  alijikuta kwenye wakati mgumu baada ya kuagusha kibuyu chenye dawa za kienyeji wakati akiingia kwenye ukumbi wa mkutano wa kura za maoni…