The House of Social Media
gunners X
Browsing Tag

Elizabeth Michael ‘Lulu’

MAJIZO AWAKA, KISA LULU

WAKATI ukimya ukiwa umetawala kwa muda tangu kutangazwa kwa ndoa yao huku maneno yakiwa mengi kuwa harusi yake na mwigizaji mkali wa Bongo Movies, Elizabeth Michael Kimemeta ‘Lulu’ imeyeyuka, mmiliki wa Kituo cha Redio cha EFM na…

NDOA YA LULU SINTOFAHAMU

DAR ES SALAAM: Moja ya ndoa za mastaa Bongo iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu kubwa ni ya msanii wa filamu, Elizabeth Michael ‘Lulu’ lakini sasa hali ya sintofahamu imegubika, Amani limebaini.  Sintofahamu hiyo inakuja…

LULU: TUJIFUNZE KUJIKUBALI

MWIGIZAJI mwenye nyota ya kipekee Bongo Muvi, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amesema kuwa hakuna kitu kizuri kama mwanamke kujiamini maana hiyo ndiyo silaha yake kubwa.  Akizungumza na Amani, Lulu alisema wanawake wengi wanakuwa…

LULU AWEKEWA ULINZI MZITO

BAADA ya kuvishwa pete ya uchumba na mipango ya harusi ikielezwa kushika kasi, mrembo wa Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amewekewa ulinzi mzito kuhakikisha hakuna mtu anamsogelea hovyo. Awali, Amani lilielezwa kuwa,…

Jokate Amuombea Dua Lulu

MWANAMITINDO Jokate Mwegelo hivi karibuni baada ya kukaa kimya bila kumposti msanii mwenzake Elizabeth Michael ‘Lulu’ wala kuongea lolote kuhusiana na hukumu yake ambapo mastaa kibao walionesha kumuhurumia na kumposti kwa kuweka maneno…

Muna: Nitafunga Mpaka Lulu Atoke

MMOJA kati ya wasanii wa karibu wa staa wa filamu Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ni Rose Alphonce ‘Muna’ ambaye tangu aanze kukumbana na tatizo hili la kesi ya mauaji bila ya kukusudia dhidi ya msanii mwenzake marehemu Steven…

Lulu Atamani Kuzaa

MWIGIZAJI wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ameweka wazi kuwa kwa umri alionao, imefika wakati na yeye anatamani sasa kuzaa. Akizungumza na 4-Tamu hivi karibuni baada ya kubanywa maswali mawili matatu, Lulu hakusita…

Lulu: Mastaa mtaishia kuchambana Insta

Staa ndani ya Bongo Movie, Elizabeth Michael ‘Lulu’. Stori: Imelda Mtema ZA uso laivu! Staa mwenye mvuto Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amefunguka kuwa mastaa wengi Bongo wataishia kuchambana kwenye mtandao wa kijamii wa Instagram badala…