Aliyetaka Kumuua Eminem Akutwa na Hatia Nyingine
Kijana anayefahamika kama Mathew David Hughes aliyetaka kumuua Rapa Eminem kwa majaribio kadhaa mwaka 2020 aingia tena matatizo baada ya kumvamia mlinzi wa Mall huko Marekani.
Hughes akiwa na miaka 28 tu alikutwa na hatia…
