Southgate: Ni Bahati Sancho Kuitwa England
KOCHA wa timu ya Taifa ya England, Gareth Southgate amesema ni kama bahati tu kumuona mshambuliaji Jadon Sancho yupo kwenye kikosi cha timu ya Taifa ya England.
Sancho amekuwa hana mafanikio makubwa kwenye timu ya Manchester United…
