The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

england

Italy Yatwaa Ubingwa wa Euro 2020

TIMU ya Taifa ya Italy imefanikiwa kutwaa Ubingwa wa Kombe la Euro2020 baada ya kuifunga Uingereza kwa jumla ya mikwaju ya penati 3-2. Uingereza ndio walikuwa wa kwanza kupata bao la mapema kabisa kunako dakika ya pili tu ya mchezo…

Nyota Taifa Stars Atwaa Tuzo Ulaya

MCHEZAJI wa kimataifa wa Tanzania, Adi Yussuf anayekipiga katika Klabu ya Wrexham Association FC ya Wales kwa mkopo akitokea Boreham Wood FC ya England, amefanikiwa kutwaa tuzo ya mchezaji bora wa mwezi Novemba. Adi…

Arteta Amhofia Guardiola

KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta, amesema anaona hatari kuvaana na bosi wake wa zamani, Pep Guardiola. Arteta atakutana na Guardiola katika mchezo wa Premier utakaochezwa Jumatano ijayo kwenye Uwanja wa Etihad. …