ESHA BUHETI: HAO WANAOWASHWA WASHUKURU NIMESHAKATA KUCHA!
Diva anayebamba vilivyo kwenye tasnia ya Bongo Muvi, Esha Buheti ambaye ni mama wa watoto wawili, Clarrisa na Crilbell, ametoa povu la kimataifa, kwa wale wote wenye tabia ya kumpangia jinsi ya kuishi na watoto wake.…
