Breaking: Matokeo ya Kidato cha Sita na Ualimu Yatangazwa, Yatazame Hapa
BARAZA la Mitihani la Tanzania leo tarehe 5/07/2022 limetangaza matokeo ya Mitihani ya Kidato cha Sita na Ualimu 2022. Matokeo hayo yanapatikana kwenye tovuti ya NECTA.
Matokeo hayo yametangazwa na Kaimu Katibu…
