×

Tag: GESI

EWURA Yasitisha Bei za Gesi Kupanda

MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imesitisha upandaji wa bei za gesi za kupikia zilizopanda maradufu...

READ MORE

Marekani Kupunguza Nusu ya Gesi Chafu Ifikapo 2030

RAIS wa Marekani Joe Biden ameahidi kupunguza hadi nusu, kiwango cha gesi chafu kinachozalishwa na nchi yake ifikiapo mwaka 2030....

READ MORE

Maajabu! Mtoto Alivyonusurika Ajali ya Moto wa Gesi

  HAKIKA Mungu ni mwema, ndivyo unavyoweza kutafsiri baada ya mtoto Ayubu Mohamed (2) aliyekuwa ameuchapa usingizi kunusurika na kifo...

READ MORE

Moto wa Gesi Wateketeza Nyumba Moro, Waandishi 4 Wajeruhiwa

WAANDISHI wa habari wanne Mkoani Morogoro wameungua moto wakati wakifuatilia tukio la nyumba kuwaka moto katika eneo la Msamvu Mizambarauni,...

READ MORE

LIVE: JPM Azindua Ghala, Mitambo ya Gesi Kigamboni – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli, leo June 25, 2019, anazindua ghala na Mitambo ya...

READ MORE

DAWASCO Kuwatibu, Kuwalipa Fidia Waathirika wa Moto wa Gesi Buguruni

MAMLAKA ya maji safi na maji taka jiiji Dar Es Salaam imesema imepokea majeruhi watano waliounguzwa na moto uliosababishwa na...

READ MORE

Kenya Imepiga Marufuku Gesi ya Kupikia ya Tanzania Kuingizwa Nchini Humo

Wizara ya Nishati ya Kenya imepiga marufuku gesi ya kupikia kutoka Tanzania kuingia nchini humo. Tamko la Katibu Mkuu wa...

READ MORE