×

Tag: Hadithi za Hashim Aziz

Seven Days in Hell (Siku Saba Kuzimu)- 39

ILIPOISHIA: Akaendelea kuniambia kwamba Shenaiza alikuwa akifahamu kinachofanywa na baba yake na kwa sababu ilifika hatua akawa amechoshwa na ukatili...

READ MORE

The Graves of The Innocents (Makaburi ya Wasio na Hatia)- 42

ILIPOISHIA: Kwa akili yangu nilijua kwamba tayari kazi imekwisha, kumbe kulikuwa na kazi nyingine, nikaanza kutetemeka tena huku nikigeuka huku...

READ MORE

The Graves of The Innocents (Makaburi ya Wasio na Hatia)- 40

ILIPOISHIA: Nilipokisogeza kibuyu hicho karibu na pua, nilikumbana na harufu kali kwelikweli, ikabidi nizibe pua, nikanywa huku nikiwa nimefumba macho....

READ MORE

The Graves of The Innocents (Makaburi ya Wasio na Hatia)- 39

ILIPOISHIA: Nilifungua zipu kisha nikaanza kufanya kama vile nilivyoelekezwa. Nikiwa naendelea na kitendo kile cha aibu na cha aina yake,...

READ MORE

The Graves of The Innocents (Makaburi ya Wasio na Hatia)- 38

ILIPOISHIA: “Wewe sasa hivi una mambo ya kikubwa, hutakiwi kuwa unachanganyikana na wenzako, inabidi uanze kukaa na sisi baba zako,...

READ MORE

Seven Days in Hell (Siku Saba Kuzimu)- 30

ILIPOISHIA: “Ukikamilisha kazi nitakupa zawadi ya ushindi,” alisema Shenaiza huku akinifinyia kijicho kimoja, nilishaelewa alimaanisha nini. Nikasimama na kumshukuru, nikambusu...

READ MORE

Seven Days in Hell (Siku Saba Kuzimu)- 29

ILIPOISHIA: “Kuna kazi nimepewa ya kuhakikisha namzuia baba yake Shenaiza hicho anachokifanya, na ni lazima nitimize.” “Kazi? Nani aliyekupa hiyo...

READ MORE

Seven Days in Hell (Siku Saba Kuzimu)- 26

ILIPOISHIA: “Jamal! Jamal! Jamal!” nilishtuka baada ya kuisikia tena ile sauti nzito ya kutetemeka, iliyoniita kwa mara ya kwanza kabisa,...

READ MORE

The Graves of The Innocents (Makaburi ya Wasio na Hatia)- 34

ILIPOISHIA: Alipofikisha tatu, nilifumba macho, nikashtukia ghafla tumehama pale tulipokuwa na kwenda upande wa pili, kule barabarani ambako watu wengi...

READ MORE

Seven Days in Hell (Siku Saba Kuzimu)- 23

ILIPOISHIA: “Mzimu? Mzimu gani wakati sasa hivi ni mchana?” “Nilikuwa nimelala nikatokewa na mzimu wa marehemu Jamal!” “Mh! Au unaanza...

READ MORE

The Graves of The Innocents (Makaburi ya Wasio na Hatia)- 31

ILIPOISHIA: Nikiwa bado naendelea kumtazama kwa jicho baya, mara nilishtuka kusikia vishindo viwili vikubwa juu ya bati, kama vile nilivyokuwa...

READ MORE

Seven Days in Hell (Siku Saba Kuzimu)- 22

ILIPOISHIA: “Mzimu? Mzimu gani wakati sasa hivi ni mchana?” “Nilikuwa nimelala nikatokewa na mzimu wa marehemu Jamal!” “Mh! Au unaanza...

READ MORE

Seven Days in Hell (Siku Saba Kuzimu)- 21

ILIPOISHIA: Nikiwa naendelea kulia, nilipaliwa na mate, hali iliyofanya nikohoe mfululizo, ajabu zaidi, na ule mwili wangu pale kitandani ukakohoa,...

READ MORE

The Graves of The Innocents (Makaburi ya Wasio na Hatia)-29

ILIPOISHIA: Nikiwa bado naendelea kuugulia, nilisikia ndugu yangu mmoja akiniita kutokea dirishani, nikafunua pazia na kuchungulia nje. Sikuyaamini macho yangu...

READ MORE

Seven Days in Hell (Siku Saba Kuzimu)- 19

ILIPOISHIA: Kuna wakati hofu ilinizidi na kutaka nigeuze nilikotoka lakini kitu ndani ya moyo wangu kikaniambia nizidi kusonga mbele. Kadiri...

READ MORE

The Graves of The Innocents (Makaburi ya Wasio na Hatia)- 27

ILIPOISHIA: Sikutaka kumuamsha Rahma, nilimtoa kifuani kwangu taratibu kisha nikashusha miguu chini, nikawa nimekaa huku nikitazama huku na kule. Sikuweza...

READ MORE

Seven Days in Hell (Siku Saba Kuzimu)- 18

ILIPOISHIA: Nakumbuka neno la mwisho nililofanikiwa kulisema, ingawa ilikuwa ni kwa taabu kubwa kutokana na midomo yangu kuwa mizito, ilikuwa...

READ MORE

The Graves of The Innocents (Makaburi ya Wasio na hatia)- 26

ILIPOISHIA: Nilipomtazama, macho yangu na yake yaligongana, akanikazia macho, ikabidi nikwepeshe macho yangu, safari ya kurudi nyumbani ikaanza huku mara...

READ MORE

The Graves of The Innocents (Makaburi ya Wasio na hatia)- 25

ILIPOISHIA: Nilianza kuwatazama mmoja baada ya mwingine, kuanzia mama ambaye uso wake ulikuwa na huzuni kubwa, baba ambaye alionesha kuwa...

READ MORE

Seven Days in Hell (Siku Saba Kuzimu)- 17

ILIPOISHIA: Safari iliendelea mpaka tulipofika Magomeni ambako kulikuwa na foleni kubwa sana asubuhi hiyo, jambo ambalo halikuwa la kawaida. “Nimekwambia...

READ MORE

The Graves of The Innocent (Makaburi ya Wasio na Hatia)- 23

ILIPOISHIA: “Tupeleke Coco Beach, kule wanakouza mihogo,” alisema Rahma, safari ikaanza lakini mita chache mbele, nilishtuka baada ya kusikia mtu...

READ MORE

The Graves of The Innocents (Makaburi ya Wasio na Hatia)- 22

ILIPOISHIA: Nilijifungua ile sanda, na mimi nikabaki kama Rahma, nikasogea pale kwenye bomba, maji yakawa yanatumwagikia, chini damu zikawa zinaendelea...

READ MORE

The Graves of The Innocents (Makaburi ya Wasio na Hatia)- 21

ILIPOISHIA: Hakuwa na nguo yoyote mwilini zaidi ya kipande cha sanda alichokuwa amefunikwa kuanzia juu kidogo ya mapaja mpaka kifuani...

READ MORE

Seven Days in Hell (Siku Saba Kuzimu)- 14

ILIPOISHIA: “Tuondoke!” nilisema huku nikiinuka pale nilipokuwa nimekaa kwani tayari kengele ya hatari ililia ndani ya kichwa changu, Raya naye...

READ MORE

Seven Days in Hell (Siku Saba Kuzimu)- 13

ILIPOISHIA: Ilibidi yule askari avunje ukimya na kurudia tena kumuuliza swali lile lakini badala ya kutoa majibu kama alivyokuwa akifanya...

READ MORE

The Graves of The Innocents (Makaburi ya Wasio na hatia) -18

ILIPOISHIA: “SIJUI itakuwaje sasa mume wangu, lazima balaa litokee tuombe tu Mungu Togo atuhakikishie kwamba hawajafanya mapenzi na ndugu yake,”...

READ MORE

Seven Days in Hell (Siku Saba Kuzimu)- 12

ILIPOISHIA: Nilikuja kugundua kuwa huenda tunaelekea Mwananyamala Hospitali baada ya kuumaliza Mtaa wa Makumbusho na kushika Barabara ya Mwananyamala, moyoni...

READ MORE

The Graves of The Innocents (Makaburi ya Wasio na Hatia)- 16

ILIPOISHIA: “TOGO,” nilisikia sauti nzito ya baba ikiniita, harakaharaka nikamtoa Rahma, kila mmoja akawa anahaha kujiweza vizuri. “Togooo,” alirudia kuniita,...

READ MORE

SEVEN DAYS IN HELL (SIKU SABA KUZIMU)- 9

ILIPOISHIA: Sikupata hata muda wa kujibu chochote, Raya akanikumbatia kwa nguvu mwilini na kuanza kunibusu sehemu mbalimbali za mwili wangu,...

READ MORE

The Graves of The Innocents (Makaburi ya Wasio na Hatia)- 8

ILIPOISHIA:  Dereva alizidi kuyumba huku gari likiongeza kasi, hali iliyofanya abiria waanze kupiga kelele kwa nguvu, wengi wakilitaja jina la...

READ MORE

Graves of The Innocents (Makaburi ya Wasio na Hatia)- 5

ILIPOISHIA: MWANAUME mzee mwenye macho mekundu sana na midomo myeusi, akiwa amejifunga shuka refu lenye rangi nyekundu na nyeusi, kichwani...

READ MORE

Makaburi ya Wasio na Hatia (The Graves of the Innocents)- 4

ILIPOISHIA: “Naongea na wewe Togolai, ni kweli nini?” alihoji tena Madam Timbuka, safari hii akiwa amenikaribia kabisa pale nilipokuwa nimekaa,...

READ MORE

Seven Days in Hell (Siku Saba Kuzimu)- 3

ILIPOISHIA: NILISHANGAA kugundua kwamba ukiachilia mbali meseji mbili za rafiki zangu, Justice na Prosper, nyingine zote zilikuwa zimetoka kwa yule...

READ MORE