DAVINA: KAMWE SIJIHUSISHI NA UNGA
Halima Yahaya ‘Davina’
MUIGIZAJI mahiri wa Bongo Movies, Halima Yahaya ‘Davina’ amefungukia safari zake zake za Dubai akisema ni kwa ajili ya biashara halali na si biashara haramu ya madawa ya kulevya (unga).
Akizingumza na Amani…
