×

Tag: Halotel

Halotel Yasherekea Siku ya Mwanamke Duniani Kivingine

  Kampuni ya Mawasiliano ya Simu ya Halotel ikiwa ni sehemu ya jamii ya Tanzania inaendelea kujali na kuchangia katika...

READ MORE

Halotel Yatoa Msaada Shule ya Sekondari Bonyokwa

  Kampuni ya simu za mkononi ya Halotel hapa nchini imetoa msaada wa vifaa mbalimbali vya masomo kwa waalimu na...

READ MORE

Halopesa Yazindua Huduma Ya “Play & Win”

  Halotel Tanzania kupitia huduma yake ya HaloPesa, inawaletea wateja huduma nyingine bora inayowapa fursa ya kujishindia zawadi kabambe; HaloPesa...

READ MORE

Halotel Kuwatunuku Zawadi Wateja Wake Kupitia Muda wa Maongezi

  Kampuni ya simu ya Viettel au maarufu kama Halotel, inayojikita kupeleka mawasiliano vijijini, leo inatimiza miaka sita ya kutoa...

READ MORE

Miaka 6 ya Halotel Yatua MOI, Wagonjwa Wapata Msaada

    Kampuni ya simu ya Halotel na wafanyakazi wake leo wamewatembelea watoto wenye changamoto ya kiafya ya vichwa vikubwa...

READ MORE

Halotel Yaunga Mkono Juhudi za Wanawake

Katika mwendelezo wakuadhimisha siku ya wanawake Duniani, kampuni ya Halotel Tanzania imeendelea kuunga mkono juhudi za wanawake wapambanaji katika majukumu...

READ MORE

Halotel, Yawasaidia Wanawake Siku ya Wanawake Duniani

Katika kuazimisha siku ya wanawake duniani, kampuni ya Halotel Tanzania imesherekea kwa kuunga mkono juhudi za wanawake katika majukumu yao...

READ MORE

Halopesa na Umoja Switch Wazindua Huduma ya kutoa Fedha Kidijitali

    KUTOKANA na kasi ya ukuaji wa teknolojia na uchumi, Halopesa imeendelea kutanua wigo wa kutoa huduma zake za kifedha...

READ MORE

Halotel Yazindua Huduma Mpya ya ‘Mpango Mzima’

Kampuni ya Halotel Tanzania imekuja na huduma mpya ya mawasiliano iitwayo ‘MPANGO MZIMA’ ambayo pamoja na faida zake nyingine inamuwezesha...

READ MORE

Halotel, Visa waungana kuwezesha malipo kwa njia ya simu

Kampuni za Halotel Tanzania na Visa zimesaini mkataba wa kimkakati ambao utawawezesha watumiaji wa Halopesa kufanya malipo kwa njia ya...

READ MORE

Wateja Halotel kuongea bure

  Kampuni ya Mawasiliano ya simu ya Halotel, imeendelea kuongeza thamani na ubunifu katika mawasiliano kwa kuzindua huduma mpya iliyoboreshwa...

READ MORE

HALOTEL YAKABIDHI MSAADA KWA NAIBU WAZIRI WA MIPANGO NA FEDHA

    Kampuni ya simu za mikononi ya Halotel imetoa msaada wa madawati 55 kwa ajili ya shule za Sekondari...

READ MORE

Serikali yaahidi kuendelea kushirikiana na Halotel

  Kwa kutambua umuhimu na ukuaji wa sekta ya mawasiliano nchini Tanzania, serikali imeiahidi Kampuni ya Mawasiliano ya Halotel kuendelea...

READ MORE

Halotel kuwazawadia wateja na Chrismas BANG BANG

  Katika kuelekea msimu huu wa sikukuu Kampuni ya simu ya Halotel imetoa punguzo la zaidi ya asilimia sitini (60%)...

READ MORE

HALOTEL YAADHIMISHA MIAKA MITATU YA KUANZISHWA KWAKE

    Napenda kuwakaribisha nyote katika Mkutano huu muhimu tunapoadhimisha miaka mitatu tangu kuanzishwa kwa huduma za Kampuni yetu ya...

READ MORE

Halotel kuwazawadia wateja wake maadhimisho ya miaka 3

  IKIWA katika shamrashamra ya kuadhimisha miaka 3 ya utoaji wa huduma kwa watanzania, Kampuni ya mawasiliano ya simu ya...

READ MORE

Halotel yaja na Ninogeshe na Halopesa ya Nandy

  Kampuni ya mawasiliano ya Halotelimezindua kampeni kabambe ya “Ninogeshe na Halopesa” maalum kwa wateja wanaotumia huduma za Halopesa. Kuanzia sasa, wateja...

READ MORE

Wateja Halopesa sasa kutuma pesa bure

    KAMPUNI ya mawasiliano ya simu ya Halotel imeondoa gharama za kutuma pesa kwa wateja wanaotumia huduma ya kifedha...

READ MORE

Halotel, StarTimes waleta kombe la dunia kiganjani  

    HUKU mshike mshike wa kombe la dunia ukiendelea kukolea, Kampuni ya Mawasiliano ya Simu ya Halotel kwa kushirikiana na...

READ MORE

Haloteli yaboresha mfumo wa mauzo na  usajili  wa laini

Kampuni ya mawasiliano ya simu ya Halotel, imetangaza kuboresha mfumo wake wa mauzo na usajili wa laini za simu na sasa watakaofanya...

READ MORE

Mawakala Halo pesa sasa kuweka na kutoa fedha kupitia NMB

  KATIKA  kutekeleza azma ya  kuboresha utoaji huduma za kifedha kwa wananchi wenye vipato tofauti,  Kampuni ya mawasiliano ya Halotel na benki...

READ MORE

Halotel yazindua laini mpya za watu mashuhuri VIP  

    KAMPUNI ya Mawasiliano ya simu ya Halotel, kwa mara ya kwanza imezindua laini mpya za watu mashuhuri zilizopewa...

READ MORE

HALOTELI YAZINDUA DUKA JIPYA MIKOCHENI SHOPPERS PLAZA

  Kampuni ya mawasiliano ya simu ya Halotel, imezindua duka eneo la Mikocheni Shoppers Plaza jijini Dar es Salaam ambapo...

READ MORE

Nafasi Ya Kazi Halotel Tanzania, Legal Advocate

Location Other Dar es Salaam District Dar Es Salaam Description Rewarded in 2017 by the Stevie International Awards as the...

READ MORE

Wafanyakazi Halotel Watoa Misaada Kwa Watoto MOI

WATOTO wachanga wanaozaliwa na walio na umri chini ya miaka mitano huwa katika athari ya kuzaliwa au kupata magonjwa ambayo...

READ MORE

Halotel Yawapa Tabasamu Wateja Wenye Kipato cha Chini

  KATIKA kuendana na kasi ya ukuaji wa  teknolojia ya mawasiliano  nchini, Kampuni ya mawasiliano ya simu za mkononi ya...

READ MORE

Halotel yafikisha 10% ya wateja wote wa simu nchini

    KAMPUNI ya Halotel Tanzania imetangaza kuendelea kupata mafanikio na kuongezeka kwa kasi ya ukuaji katika kipindi cha robo...

READ MORE

Halotel Yatoa Mil. 50, Kuunga Mkono Juhudi za Makonda

  KAMPUNI ya mawasiliano ya simu za mkononi ya Halotel, imeunga mkono juhudi za Mkuu wa Mkoa wa Dar es...

READ MORE

Halotel,Sport Pesa kunogesha michezo

Dar Es Salaam, 28 November, 2017. Kampuni ya mawasiliano ya simu za mkononi ya Halotel, imeingia katika makubaliano rasmi na...

READ MORE

Halotel Yazindua Huduma ya ‘Halostudy’

KAMPUNI Ya simu za mkononi ya Halotel leo imezindua huduma mpya ya kimasomo ijulikanayo kama ‘Halostudy’ itakayowawezesha wanafunzi nchini kusoma...

READ MORE

HALOTEL KUWEZESHA VICOBA KUWASILIANA BURE

      Taarifa kwa Vyombo vya Habari   DAR ES SALAAM;  Kuendelea kukua kwa teknolojia ya Mawasiliano, kumekuwa chachu...

READ MORE

Halotel, Mercy Corps Waungana Kuwaiua Wakulima Nchini

KAMPUNI ya simu za mkononi ya Halotel kwa kushirikiana na taasisi ya kifedha ya MERCY CORPS leo wameanzisha mpango maalum...

READ MORE

Halotel Yatoa Ufafanuzi wa Kesi Iliyokuwa Inaikabili

DAR ES SALAAM: Kampuni ya mawasiliano ya simu ya Mkononi ya Halotel imetoa ufafanuzi kuhusu  tuhuma zilizokuwa  zinaikabili kampuni hiyo...

READ MORE