IGP Sirro: Hatujapa Taarifa Rasmi Ili Kumkamata Gwajima
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro amesema Jeshi la Polisi linaendeshwa kwa maandishi hivyo wanasubiri barua kutoka kwa Waziri wa Afya, Dkt. Dorothy Gwajima.
Maelekezo ya Waziri kutaka Jeshi la Polisi kumkamata…
