×

Tag: James Rugemalira

Rugemalira Aidai Serikali Fidia ya Tsh Tril 61

Baada ya kusota rumande kwa zaidi ya miaka minne kabla hajaachiwa hivi karibuni, hatimaye mfanyabiashara maarufu nchini, James Rugemalira ameanza...

READ MORE

Kesi ya Seth na Rugemalira! Majadiliano na DPP Yamefutwa

Aliyekuwa mwanasheria wa Kampuni ya kufua umeme ya IPTL, Joseph Makandege ameondoa rasmi maombi ya kufanya majadiliano ya kuimaliza kesi...

READ MORE

Kesi ya Akina Seth, Rugemalira na Makandege Waondoa Maombi Ya Pre-Bargain Kwa DPP

UPANDE wa utetezi kupitia  Mshtakiwa aliyekuwa Mwanasheria wa kampuni ya  kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL), Joseph Makandege,...

READ MORE

KISUTU: Kesi ya Rugemarila na Sethi, Mapya Yaibuka Tena

KESI ya kuhujumu uchumi na kuitia serikali hasara ya mamilioni ya pesa, inayowakabili wafanyabiashara maarufu imezidi kugubikwa na utata dhidi...

READ MORE

Rugemalira Awataja ‘Wezi’ wa Escrow Mahakamani

MFANYABIASHARA, James Rugemalira anayekabiliwa na kesi ya utakatishaji fedha amewataja aliodai ni wezi wa fedha za Escrow katika Mahakama ya...

READ MORE

KESI YA KINA RUGEMALIRAYAAHIRISHWA HADI DESEMBA 8

  KESI ya James Rugemalira na Harbinder Sing Sethi imeahirishwa hadi  Desemba 8 mwaka huu kutokana na upelelezi kutokamilika.  ...

READ MORE

Harbinder Sethi Awekewa ‘Puto’ Tumboni

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu upande wa utetezi leo umeieleza mahakama hiyo kuwa mmiliki wa kampuni ya kufua umeme ya...

READ MORE

Mahakama Yampa Harbinder Sethi Siku 14 Kutibiwa Nchini

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu leo imeahirisha kesi inayowakabili mmiliki wa kampuni ya kufua umeme ya IPTL, Harbinder  Singh Sethi...

READ MORE

Chenge: Sitaki Utani!

Mwezi mmoja na ushee ukiwa umekatika tangu aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini katika serikali ya awamu ya nne, William...

READ MORE

Kesi Ya Akina Rugemalira na Singasinga Yaahirishwa

James Rugemalira (mwenye mvi) na mwenzake Harbinder  Singh Sethi wakifikishwa mahakani.   MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu leo imeahirisha kesi...

READ MORE