×

Tag: JAPAN

Zaidi ya Watu 120 Wafariki kwa sababu ya joto kali Japan

Zaidi ya watu 120 wamekufa kutokana na kiharusi cha joto katika eneo la mji mkuu wa Tokyo, Julai, wakati wastani...

READ MORE

Maembe Yenye Bei Kubwa Zaidi Duniani Yauzwa Katika Mnada

MAEMBE haya yaitwayo Taiyo na Tamago ama Egg of the Sun ni maembe matamu na yenye sukari asilimia 15 zaidi...

READ MORE

Mkuu wa Polisi wa Kitaifa Ajiuzulu Baada ya Kuuawa kwa Waziri Mkuu wa Japan

MKUU wa Polisi wa kitaifa wa Japan, Itaru Nakamura amewasilisha ombi la kujiuzulu baada ya kukiri kushindwa kumlinda Waziri Mkuu...

READ MORE

Kifo cha Waziri Mkuu Mstaafu Chaiweka Matatani Kazi ya Mkuu wa Polisi Japan

MKUU wa jeshi la Polisi Itaru Nakamura, ambaye alisema atajiuzulu ili kuwajibika, ndiye afisa mkuu zaidi kujiuzulu kuhusiana na mauaji...

READ MORE

Nchi ya Japan Imewahimiza Vijana Kunywa Pombe Zaidi ili Kuchochea Uchumi waNchi

KATIKA hali ambayo inaweza kukushangaza, Mamlaka za Japan zimewataka vijana wengi zaidi kunywa pombe, Kampeni hiyo imeanzishwa ili kuweza kuongeza...

READ MORE

Joe Biden na Barrack Obama Wamlilia Shinzo Abe

   Rais Joe Biden akiwa na Shinzo Abe kipindi cha uhai wake RAIS wa Marekani Joe Biden ametoa salamu zake...

READ MORE

Sheria Mpya Nchini Japan, Ukimtukana Mtu Mtandaoni Jela Mwaka Mmoja

BUNGE la Japan limepitisha mswada wa sheria mpya ya kudhibiti matusi mitandaoni ambayo inatarajiwa kusainiwa na Rais wa nchi hiyo...

READ MORE

Henn-Na Hotel; Hoteli Ya Kijapani Inayohudumiwa na Maroboti

HEBU VUTA PICHA, unaenda hotelini na badala ya kupokewa na wahudumu, mapokezi unakutana na roboti lililotengenezwa kwa mfano wa mwanamke...

READ MORE

Jundokan Tanzania Karate-Do Yafunguliwa Mipaka Japan, Yapewa Mwaliko Sweden

KWA MUJIBU wa habari toka kwa Mwenyekiti wa Chama cha Karate cha Jundokan So Honbu chenye makao yake makuu mjini...

READ MORE

Penzi la Kweli Linavyoitikisa Ngome ya Kifalme Japani

Mako, mpwa wa Mfalme wa Japani Nahurito, amezama kwenye penzi zito la kijana Komuro ambaye ni Mwanasheria. Ndoa ya Mako...

READ MORE

Miji 10 Yenye Gharama Kubwa Zaidi Kuishi Duniani

  PARIS ndio mji ulio na gharama kubwa zaidi duniani kimaisha, ukifuatiwa na Hong Kong na Singapore.   Ni mara...

READ MORE

Ndege za Marekani Zagongana Angani Moja Ikiiongezea Mafunta Nyingine

Oparesheni kubwa ya uokoaji inaendelea nchini Japan kuwatafuta wanajeshi watatu wa Marekani baada ya ndege mbili zilizokuwa na wanajeshi saba...

READ MORE

JPM Awaalika Japan na Georgia Kushirikiana na Tanzania – Picha

Mhe. Rais Dkt. John Pombe Magufuli leo Ijumaa, Oktoba 19, 2018 amepokea hati za Utambulisho za Mabalozi wawili kutoka nchi...

READ MORE

Pweza Aliyetabiri Japan Kufungwa Ageuzwa Kitoweo – Video

WAKATI michuano ya Kombe la Dunia ikiendelea nchini Urusi, pweza aliyekuwa anaaminika katika kubashiri matokeo ya mechi kadhaa zilizopita zikiwemo...

READ MORE

Ubelgiji Yaiangamiza Japan Dakika za Nyongeza – Video + Pichaz

TIMU ya Taifa ya Ubelgiji imeipa kichapo Japan na kuiondosha katika michuano ya Kombe la Dunia nchini Urusi baada ya...

READ MORE

HATIMAYE INIESTA ASAINI KOBE YA JAPAN

STAA wa Soka duniani kutoka Barcelona ya Hispania, Andrés Iniesta amesaini kandarasi ya kujiunga na Klabu ya Soka ya Vissel...

READ MORE

Korea Kaskazini Yarusha Makombora Japan

Jeshi la Korea Kusini limesema Korea Kaskazini imerusha makombora yake kadhaa katika bahari ya Japan, kutoka kwenye eneo la Tongchang-ri...

READ MORE