The House of Social Media
gunners X
Browsing Tag

jeshi la polisi

IGP Sirro Awataka Polisi Kufuata Sheria

MKUU wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro amewataka Polisi Wasaidizi waliopo kwenye taasisi mbalimbali nchini kuhakikisha wanaheshimu na kuzingatia sheria sambamba na nidhamu wakati wanapotekeleza majukumu yao ya kazi za kila siku…

Senzo Mikononi mwa Polisi

ALIYEKUWA  Mtendaji Mkuu (CEO) wa Simba, Senzo Mbatha,  anashikiliwa na  polisi kwenye kituo cha Oyster Bay ambapo imeelezwa sababu ni kuhusiana na tuhuma za mawasiliano yake na Hashim Mbaga  yanayodhaniwa yalilenga kuihujumu Simba…