JPM na Museveni Wasaini Mkataba Ujenzi Mradi wa Bomba la Mafuta -Video
Rais John Magufuli wa Tanzania na Rais Yoweri Museveni wa Uganda leo Septemba 13, 2020 wamesaini makubaliano ya kuanza ujenzi wa Bomba la Mafuta ghafi kutoka Hoima, Uganda hadi Chongoleani mkoani Tanga
Rais Magufuli…
