×

Tag: JWTZ

Mtukio Kilele cha Maadhimisho ya Kutimiza Miaka 60 la Jeshi JWTZ Jijini Dar (Picha +Video)

MATUKIO mbalimbali wakati wa kilele cha Maadhimisho ya kutimiza miaka 60 la Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ)...

READ MORE

Rais Samia Afunga Zoezi La Medani Katika Kuadhimisha Miaka 60 Ya JWTZ, Msata-Pwani (Picha +Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akifunga zoezi la Medani katika kuadhimisha Miaka 60...

READ MORE

Wahukumiwa Kunyongwa kwa Kumuua Mwanajeshi Mkoani Morogoro

MAHAKAMA Kuu ya Tanzania Kanda ya Morogoro imewahukumu kunyongwa hadi kufa Watu watatu kwa kosa la kumuua Leonard Yamakwa ambaye...

READ MORE

Mkuu Mpya wa Majeshi Akipokelewa kwa Gwaride Jijini Dodoma-Video

MKUU mpya wa Majeshi, Jenerali Jacob John Mgunda, amepokelewa kwa shangwe jijini Dodoma leo Julai 06, 2022. 

READ MORE

Wasifu wa CDF Jenerali Mabeyo JWTZ

Jenerali Venance Mabeyo ni Mkuu wa Majeshi wa nane kuliongoza Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania tangu alipoteuliwa Februari...

READ MORE

Rais Samia: Sina Shaka na JWTZ – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Samia Suluhu hassan amesema amani tuliyonayo...

READ MORE

Mwanajeshi JWTZ Akamatwa Kwa Tuhuma za Mauaji

Jeshi la polisi Mkoa wa Arusha linamshikilia Askari wa jeshi la wananchi Tanzania (JWTZ) wa chuo Cha mafunzo ya Kijeshi...

READ MORE

Mwanajeshi Aliyempiga Refa Ashughulikiwa na Polisi – Video

Askari wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) anayedaiwa kumpiga mwaamuzi Fadhil Maka aliyekuwa akichezesha mchezo kati ya Pamba FC na...

READ MORE

JWTZ Kusaka Wahalifu Misitu Mpakani na Msumbiji

KIKOSI cha Kusini cha Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kimesema kitafanya msako katika misitu ya mikoa inayopakana...

READ MORE

Askari wa JWTZ Wafariki kwa Ajali Katavi

ASKARI wawili wa Jeshi la Wananchi (JWTZ) kikosi cha 24KJ Mkoani Kigoma, wamefariki dunia na wengine 20 kujeruhiwa katika ajali...

READ MORE

JPM Apokea Magari 40 Yaliyoletwa na Jeshi la China kwa JWT – Video

Rais wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli leo Alhamisi, Septemba 12, 2019 ameshuhudia makabidhiano ya Magari 40 kwa JWTZ kutoka...

READ MORE

JPM Ateua Mkuu Mpya wa JWTZ

RAIS Magufuli amemteua Brigedia Jenerali Charles Mbuge kuwa Mkuu wa JKT. Mbuge anachukua nafasi Meja Jenerali Martin Busungu ambaye ameteuliwa...

READ MORE

DREAMLINER Yapeleka Wapiganaji wa JWTZ Darfur – Video

MAOFISA na Askari wa Jeshi la Ulinzi la wananchi wa Tanzania (JWTZ), wanaoshiriki Ulinzi wa Amani katika Jimbo la Darfur...

READ MORE

Askari JWTZ Afariki Akijiokoa Kubakwa na Fundi Ujenzi

ASKARI wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) kambi ya Tabora, Esther Gway,  amefariki wakati akijiokoa katika tukio la ubakaji lililotekelezwa...

READ MORE

NMB Yatoa Vifaa Vya Michezo Kwa Jeshi la Wananchi Tanzania

  BENKI ya NMB imetoa vifaa vya michezo kwa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) kwa ajili ya mashindano ya majeshi...

READ MORE

SIMANZI YATAWALA KUAGWA KWA MIILI YA WANAJESHI 3 LUGALO – VIDEO

MAMIA ya waombolezaji wamejoteka kuaga miili ya askari watatu  waliofariki kwa tarehe tofauti nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC)...

READ MORE

JWTZ Yapoteza Wanajeshi Wengine Watatu DRC

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kama mnavyofahamu linashiriki Ulinzi wa Amani ndani na nje ya Bara la...

READ MORE

LEMA Ataka Gavana wa B.o.T Ajiuzulu, Sababu Ziko Hapa – Video

Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema amepinga hoja za Gavana wa Benki Kuu,Profesa Florens Luoga kuwa walitumia askari wa Jeshi...

READ MORE

B.o.T YATAJA SABABU ZA KUTUMIA JWTZ KUKAGUA MADUKA ARUSHA

Gavana wa  Benki Kuu ya Tanzania (B.o.T), Prof. Florens Luoga amesema walilazimika kutumia askari wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) wakati...

READ MORE

BREAKING: Magari 70 JWTZ Yaingia Mtwara, Lindi Kusomba Korosho – VIDEO

Ikiwa takribani siku mbili zimepita tangu Rais John Magufuli kutangaza serikali itanunua korosho zote kwa wakulima kwa bei ya shilingi...

READ MORE

Mstaafu JWTZ Mbaroni Akituhumiwa Kukodisha Silaha kwa Majambazi

ASKARI mstaafu wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) anashikiliawa na Jeshi la Polisi Mkoani Morogoro kwa tuhuma za kukodisha...

READ MORE

LIVE: JPM Akiwatunuku Kamisheni Maofisa wa JWTZ IKULU

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 07 Julai,...

READ MORE

Breaking News: Ajali ya Basi Yaua Wanajeshi 10 wa JKT

#BREAKINGNEWS: Basi lenye namba za usajili T 755 BAB lililokuwa likisafiri kutoka mkoani Tabora kuelekea mkoani Mbeya, limepata ajali leo...

READ MORE

JPM AZINDUA KIWANDA CHA JWTZ, AMPA MAKONDA MAJI ANYWE PAPO HAPO – VIDEO

RAIS John Magufuli leo amezindua Kituo cha Uwekezaji cha Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) kupitia SUMA-JKT kilichopo eneo la Mgulani...

READ MORE

Breaking: Askari Mwingine wa JWT Aliyeshambuliwa DRC Afariki Dunia

ASKARI wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) aliyekuwa katika Kikosi cha Umoja wa Mataifa cha Kulinda Amani...

READ MORE

Askari JWTZ Walionusurika Shambulio la DRC Wanaendelea Vizuri – Pichaz

  KUFUATIA wanajeshi 14 wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi Tanzania (JWTZ), waliouawa katika nchi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya...

READ MORE

Majonzi na Vilio Kuagwa kwa Miili ya Askari 14 wa JWTZ Waliouawa, DRC -(Video)

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa ameongoza waombolezaji kuaga miili ya askari 14 waliouawa na waasi wa ADF nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya...

READ MORE

Miili ya Wanajeshi 14 wa JWTZ Waliouawa DRC Yaagwa, Mmoja Wao Hajapatikana

MAMIA ya waombolezaji wamejoteka kuaga miili ya askari 14 waliouawa na waasi wa ADF nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo...

READ MORE

Makamanda wa Majeshi Kuingia Mazoezini Siku 17 Kupambana na Ugaidi, Maafa (VIDEO)

MAJESHI yaliyoko ndani ya nchi tano zinazounda Umoja wa Afrika Mashariki, Tanzania, Kenya, Uganda, Rwanda na Burundi yanatarajia kuanza mazoezi...

READ MORE

JWTZ Watii Agizo la JPM, Wawasili Mererani Kuweka Uzio Eneo la Tanzanite

JESHI la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limeanza kutekeleza agizo la Rais John Magufuli aliyelitaka kujenga uzio kuzunguka kitalu...

READ MORE

VIDEO: Mjeda Apigwa Avunjwa Goti

  MJEDA mmoja ambaye ni mwanajeshi mstaafu wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania, Koplo Deus Kakuba Mkazi wa Chalinze yuko...

READ MORE

Siku ya Mashujaa Kufanyika nchini kote kwa huduma za kiafya

JESHI la Ulinzi laWananchi wa Tanzania leo limetoa taarifa kwa vyombo vya habari juu ya maadhimisho ya Siku ya Mashujaa...

READ MORE

JWTZ watoa taarifa kuhusu uvumi ulioenea mitandaoni

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) linapenda kutoa taarifa kwa Umma juu ya uvumi ulioenea katika mitandao ya...

READ MORE