×

Tag: kaburi

Familia Yagoma Kuondoa Kaburi Katikati Ya Barabara, RC Kafulila Ajitosa

Familia ya Saguda Madako katika kijiji cha Nkindwabiye Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi Mkoani Simiyu, imegoma kuhamisha kaburi linalodaiwa kuzikwa...

READ MORE

Ajiua Chumbani kwa Mpenzi Wake Baada ya Kufukua Kaburi la Mama Yake

Mkazi wa Mpanda Hotel Manispaa ya Mpanda Mkoa wa Katavi Wille Mwakapimba amekutwa akiwa amejinyonga chumbani kwa mpenzi wake Hawa...

READ MORE

Mwili wa Marehemu Wafukuliwa Morogoro

Mwili wa aliyekuwa mkazi wa Kihonda Mizani, Mark Mkude (67) umelazimika kuzikwa katika kaburi mbili tofauti kutokana na awali kuzikwa...

READ MORE

Ofisa wa Polisi Ajijengea Kaburi

YAKO mambo ya kushangaza, kuchekesha na hata kuhuzunisha. Ndivyo unavyoweza kusema baada ya Ofisa wa Jeshi la Polisi nchini, Mrakibu...

READ MORE

Wasiojulikana Watokomea na Mwili wa Marehemu

Tukio lisilo la kawaida limetokea katika Kitongoji cha Kipondoda, Wilaya ya Manyoni mkoani Singida baada ya kaburi la mtoto Christina...

READ MORE

Kaburi la Mtoto Lafukuliwa, Mwili Watupa Mtaani

WAOMBOLEZAJI wakiwa kwenye mazishi ya mara ya pili ya mtoto Sharifa Abasi ambaye mwili wake ulifukuliwa na watu wasiojulikana na...

READ MORE

Aliyejenga Kaburi Barabarani Apewa Siku 45 Kuliondoa

BARAZA la Ardhi la Kata ya King’ori wilayani Arumeru Mkoa wa Arusha, limemtaka mkazi wa kijiji cha King’ori, John Peter...

READ MORE

Aliyejijengea Kaburi la Bilioni 1 Afariki

MGANGA wa jadi, Dk. Anthony Mwandulami, mkazi wa Kijiji cha Wangama, Kata ya Mtwango wilayani Njombe mkoani Njombe, aliyekuwa anajijengea...

READ MORE

Morogoro: Mbaroni kwa Kufukua Maiti na Kunyofoa Viungo

Watu watatu wanashikiliwa na Polisi mkoani Morogoro kwa tuhuma za kufukua mwili wa Rehema Michel, aliyezikwa Jumapili na kutoa viungo...

READ MORE

Wafukua Kaburi na Kuondoka na Viungo vya Marehemu

Watu wasiojulikana wamefukua mwili wa marehemu aliyefahamika kwa jina la Rehema Michel aliyefariki kwa ajali ya gari, tarehe 23/05/2021, na...

READ MORE

Kifo cha Utata! Mtoto Azikwa, Afukuliwa, Jirani Asimulia – Video

GLOBAL TV imeendelea kufuatilia tukio la mtoto wa miaka (9) aliyefariki dunia na baadaye mwili wake kufukuliwa, baada ya mama...

READ MORE

Kikongwe wa Miaka 101 Ajichimbia Kaburi!

ARUSHA: HATUA ya kikongwe mwenye umri wa miaka 101, Nderekwa Ndesaulo Ayo kuamua kujichimbia kaburi lake akisubiri mauti yamfike, limewaacha...

READ MORE

Miili 103 Yagundulika Kwenye Kaburi la Halaiki

Kulingana na taarifa iliyochapishwa na vyombo vya habari vya nchi, Ofisi ya Mwendesha Mashtaka wa Serikali ilisema kwamba miili 103...

READ MORE

Mgogoro Ukubwa wa Kaburi Wachelewesha Maziko

MAZISHI yalicheleweshwa kwa muda wa saa mbili baada ya mgogoro wa ukubwa wa kaburi ambamo atazikwa marehemu, kuibuka katika maziko...

READ MORE

Kaburi la Mkapa Laanza Kuandaliwa

ASKARI wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) wameanza kuchimba kaburi linalotarajiwa kutumika kuupumzisha mwili wa Rais Mstaafu wa Awamu ya...

READ MORE

Mganga Mkuu wa Serikali Akanusha 92 Kufa kwa Corona Moro

SERIKALI imekanusha taarifa zilizotolewa na baadhi ya mitandao ya kijamii zinazosema kuwa watu 92 wamekufa mkoani kwa corona katika kipindi...

READ MORE

Wakenya Kunywa Soda, Maziwa na Vitafunio Mazishi ya Moi

WAOMBOLEZAJI katika mazishi ya rais wa zamani wa Kenya, Daniel arap Moi, wamehimizwa kuwahi mapema kwenye mazishi ili wapate maziwa...

READ MORE

Afumwa Akifukua Kaburi la Mtoto wa Dada Ake

KIJANA Devenja Kibotuo mwenye umri wa miaka 35, Mkazi wa Kijiji cha Uchau Kusini Wilayani Moshi, Kilimanjaro anadaiwa kufukua kaburi...

READ MORE

Mtoto wa Mpigania Uhuru: Baba Alizikwa Hapa! – Video

MTOTO wa aliyekuwa mpigania ukombozi wa Afrika  Kusini aitwaye David, mkazi wa Morogoro amesimulia maisha yake anayoishi baada ya kuishi...

READ MORE

MAAJABU! Afukua Kaburi la Baba Yake na Kuchukua Blanketi – Video

Kijana mwenye umri wa miaka 28 amefanya kitendo cha kuacha watu midomo wazi baada ya kufukua kaburi la baba yake...

READ MORE

KABURI LA DKT MENGI LAANDALIWA KIJIJINI KWAO

MAANDALIZI ya kaburi atakamopumzishwa aliyekuwa Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP, Dkt. Reginald Mengi, yanaendelea nyumbani kwao katika Kijiji cha Nkuu...

READ MORE

Kitu cha Ajabu Chagunduliwa Kwenye Kaburi la Kale

KARUBI  la kale linalokisiwa kuwa la zaidi ya miaka 3,500 limegunduliwa Misri.  Wataalam wa masuala ya kale walioshirikiana na chuo...

READ MORE

MKE AJIJENGEA KABURI AKIWA HAI!

DAR ES SALAAM: Uchuro? Mwanamke mmoja, mkazi wa Tabata-Kinyerezi jijini Dar ambaye jina halikupatikana mara moja amesababisha watu kupigwa na...

READ MORE

SITASAHAU NILIPOLALA NA MWANAMKE JUU YA KABURI (18)

  ILIPOISHIA… Nakumbuka siku moja niliamua kwenda kanisani kufanyiwa maombi ya tatizo langu hili. Nilipokuwa njiani kueleka huko, mtu wa...

READ MORE

SITASAHAU NILIPOLALA NA MWANAMKE JUU YA KABURI (17)

  ILIPOISHIA… Nadhani hata yeye pamoja na kutisha kwake na uajabuajabu aliokuwa nao, alishangaa kwa jinsi nilivyosimama kwa ujasiri. Alipofika...

READ MORE

SITASAHAU NILIPOLALA NA MWANAMKE JUU YA KABURI (8)

ILIPOISHIA IJUMAA…   “Mzee Samike kwa sababu ya uchawi wake, alikwishatengwa na jamii. Watu wote walimwogopa na hawakuthubutu kwenda msibani....

READ MORE

EVANS AVEVA APANDISHWA MAHAKAMANI, ARUDISHWA RUMANDE, KABURU AKWAMA

Kesi ya madai ya utakatishaji fedha inayowakabili viongozi wa Simba, Rais Evans Aveva na Makamu wake, Godfrey Nyange ‘Kaburu’ imetajwa...

READ MORE