×

Tag: Kaburu

Hukumu ya Aveva, Kaburu Yapigwa Kalenda Tena

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeshindwa kutoa hukumu kutokana na kutokamilika uandaaji wa hukumu na kuomba kuahirishwa kwa shauri hilo...

READ MORE

Aveva, Kaburu, Hans Pope Kuanza Kujitetea

ALIYEKUWA rais wa Klabu ya Simba, Evans Aveva na wenzake wawili,  wataanza kujitetea katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Novemba...

READ MORE

Breaking: Aveva, Kaburu Warejea Uraiani – Video

  Waliowahi kuwa viongozi wa juu wa Klabu ya Simba, Evans Aveva na makamu wake Godfrey Nyange ‘Kaburu’ wameachiwa kwa...

READ MORE

Aveva, Kaburu Wampigia Magoti DPP

Mapema leo Ijumaa, Oktoba 11, 2019, katila Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kupitia kwa wakili wa Serikali Wankyo Simon ameieleza...

READ MORE

Dhamana ya Aveva, Kaburu Ngoma Bado Mbichi!

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeshindwa kutoa uamuzi juu ya dhamana ambayo walifutiwa waliokuwa viongozi wa Klabu ya Simba, Evans...

READ MORE

Aveva, Kaburu Wafutiwa Dhamana na Kurejeshwa Mahabusu

Aliyekuwa Rais wa Klabu ya Simba, Evance Aveva na Godfery Nyange (Kaburu) wameshindwa kuachiwa kwa dhamana baada ya Mkurugenzi wa...

READ MORE

YALIYOJIRI MAHAKAMANI KESI YA AVEVA NA KABURU

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imepanga kusikiliza hoja za upande wa mashtaka kuhusu ombi la kutaka kufutwa mashtaka ya kesi...

READ MORE

Breaking News: Mahakama Yaamuru Hans Pope na Lauwo Wakamatwe

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, leo April 30, 2018 imetoa amri kwamba Mwenyekiti wa Usajili wa Klabu ya Simba, Zacharia...

READ MORE

Aveva Afika Mahakamani Huku Hali Yake Ikiwa Tete – Video

Rais wa Klabu ya Simba, Evans Aveva ambaye alikuwa akiugua kwa muda mrefu, leo Aprili 5, amefika katika Mahakama ya...

READ MORE

Kaburu Azikwa Kigoma

  Mwili wa Mwenyekiti Mstaafu wa hama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Kigoma, Dkt.Walid Amani Kaburu umezikwa leo nyumbani kwake...

READ MORE

Rais Magufuli Amlilia Mbunge Dkt. Kaburu

  RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amepokea kwa masikitizo kifo cha aliyewahi kuwa Mwenyekiti...

READ MORE

KISUTU: Kaburu Achukuliwa na TAKUKURU

TASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imemchukua Makamu wa Rais wa Klabu ya Simba, Godfrey Nyange ‘Kaburu’ kwa...

READ MORE

Yaliyojiri Kortini Kuhusu Kesi ya Vigogo wa Simba

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeahirisha kesi ya utakatishaji fedha na kugushi inayowakabili Rais wa Simba, Evans Aveva na Makamu...

READ MORE

Kesi ya Aveva, Kaburu Upelelezi Wakamilika

KESI inayowakabili Rais wa Klabu ya Simba, Evans Aveva na Makamu wake, Godfrey Nyange maarufu kama Kaburu upelelezi wake umekamilika...

READ MORE

Aveva, Kaburu Ngoma Bado Nzito Kisutu

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu leo September 9, 2017 imeutaka upande wa mashtaka katika upelelezi wa kesi inayomkabili Rais wa...

READ MORE

Nyaraka za Kughushi Zazidi Kuwasotesha Aveva na Kaburu Mahabusu (VIDEO)

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, leo Agosti 16, 2017 imeahirisha kwa mara nyingine kesi ya kutakatisha fedha na kughushi nyaraka...

READ MORE

Aveva, Kaburu Wapandishwa Kortini Tena

  Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, leo Agosti 7, 2017 imeahirisha kwa mara nyingine kesi ya kutakatisha fedha na kughushi...

READ MORE

KISUTU: Kesi ya Aveva na Kaburu Yasogezwa Mbele

Kesi ya madai ya utakatishaji fedha inayowakabili viongozi wa Simba, Rais Evans Aveva na Makamu wake, Godfrey Nyange ‘Kaburu’ imeahirishwa...

READ MORE

#GloblaNewsUpdates: Malinzi, Mwesigwa na Kaburu Wafikishwa Kortini

          #GloblaUpdates: Hatimaye Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Tanzania (TAKUKURU) imewafikisha katika Mahakama ya...

READ MORE

TRA Yakomaa, Simba Yazikomboa Nyasi

Wilbert Molandi | CHAMPIONI| Dar es Salaam NYASI bandia za Simba zipo hatarini kupigwa mnada na Kampuni ya Udalali ya...

READ MORE

Simba walia Yanga SC kuondolewa na Zanaco

UONGOZI wa Simba umesema kuwa kitendo cha Yanga kuondolewa kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika kimewaumiza sana. Yanga ilitupwa...

READ MORE