The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

Katibu Mkuu wa Yanga

Yanga yashusha straika Mtogo

MAMBO sasa kimyakimya tu kwani Yanga ipo mbioni kumleta straika hatari kutoka Togo ambaye ataingia moja kwa moja katika kikosi cha kwanza akiwa maalum kwa mechi za Ligi ya Mabingwa Afrika. Straika huyo anatarajiwa kutua nchini siku yoyote…