Diamond: Naweza Kufanya Shoo na Kiba
Supastaa wa muziki Bongo anayetamba na EP yake ya FOA, Diamondp Platnumz kwenye mahojiano na Wasafi FM leo Machi 14, 2022 amefunguka kuwa anaweza kufanya show ya pamoja na staa mwenzake Alikiba na alishawahi kuuomba uongozi wake.…
