Korea Kaskazini: Tumefyatua Tena Makombora Leo
JESHI la Korea Kaskazini leo limefyatua tena makombora mawili yaliyoelekezwa Baharini ikiwa zimepita siku mbili tangu Serikali ya Korea Kaskazini ilipodai kwamba imefanya majaribo ya makombora mapya ya masafa marefu.
…
