Korea Kaskazini: Marufuku Wananchi Kucheka kwa Siku 11
Serikali ya Korea Kaskazini imepiga marufuku Wananchi wake kucheka, kunywa pombe na kufanya sherehe yoyote kwa muda wa Siku 11 ikiwa ni maadhimisho ya Miaka 10 tangu kufariki kwa Kim Jong II.
Kim Jong II alikuwa Rais wa Korea Kaskazini…
