Kufungwa kwa Mageti ya Daraja la Kigamboni Kwasababisha, Vurugu, Foleni
DAR ES SALAAM: Kufungwa kwa muda kwa mageti mengi ambayo hutumiwa na magari kupita katika Kivuko cha Daraja la Nyerere (Kigamboni) leo Novemba 7, 2016 na mamlaka husika na kuacha geti moja tu litumike kwa magari yote, kumesabaisha vurugu…
