Unyama! Baba Awakeketa Wanaye, Awajeruhi Sehemu za Siri – Video
Mkazi wa Kivule jijini Dar es Salaam, Cosmas Chacha (45) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na mashitaka matatu ya kuwakeketa watoto wake (3) na kuwasabibishia maumivu sehemu zao za siri.
…
