Kumbilamoto Afunguka Kuachana na Dida
June 10, mwaka huu, mtangazaji maarufu nchini wa kipindi cha mashamsham cha Wasafi Fm, Didah Shaibu pamoja na Diwani wa Vingunguti na Meya wa jiji la Dar es Salaam, Mh. Omary Kumbilamoto walianza maisha rasmi ya ndoa.
Huku…
