RC Pwani Ahaha Kumalizia Chanjo za Corona
Mkuu wa mkoa wa Pwani Aboubakar Kunenge, amesema kuwa umebaki mwezi mmoja tu kufikia tarehe ya mwisho ya matumizi ya chanjo ya COVID-19 iliyotolewa ndani ya mkoa huo na kwamba wameanzisha mpango shirikishi utakaowasaidia wananchi kupata…
