Godbless Lema Apewa Hifadhi Canada
ALIYEKUWA mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Godbless Lema, amepata hifadhi ya kisiasa nchini Canada.
Lema aliondoka jana nchini Kenya akiwa na familia yake kuelekea…
