Madrid Yaichapa Girona 6-3, Ronaldo Yupo On-Fire, Atupia Nne
KLABU ya Real Madrid wakiwa nyumbani wameinyuka timu ya Girona kwa mabao 6-3 katika mechi ya Ligi Kuu Hispania 'La Liga Santanda' jana Jumapili, Machi 18, 2018 katika uwanja wa Santiago Bernabeu.
Katika mechi hiyo…
