The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

ligi kuu

Yanga Yatenga Mechi 12

UONGOZI wa Yanga, umesema kuwa bado una nafasi ya kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara licha ya kuwa kwenye mwendo wa kusuasua mzunguko huu wa pili. Yanga ambayo ilianza mzunguko wa kwanza kwa kasi, iligeuka ghafla…

Tukutane kwa Mkapa

SIMBA imeamka! Wenyewe wanasema kwa mziki huu, tukutane kwa Mkapa Jumamosi ijayo tuoneshane makali jeuri ya Simba imekuja baada ya jana kuibuka na ushindi mnono wa mabao 5-0 dhidi ya Mwadui FC katika mchezo wa Ligi Kuu Bara…

Tambwe Ampa Tuzo Kagere

KASI aliyonayo mshambuliaji wa Simba, Meddie Kagere katika utupiaji mabao umemfanya straika wa Yanga, Amissi Tambwe aseme kuwa ndiye atakuwa mfungaji bora na rekodi yake ataivunja. Tambwe anashikilia rekodi ya kufunga mabao 21…

Simba Yaweka Rekodi Mpya Ligi Kuu

SIMBA, juzi ilifanikiwa kuweka rekodi mpya katika Ligi Kuu Bara baada ya ushindi dhidi ya Coastal Union ya Tanga na kujikita kileleni mwa ligi hiyo. Ushindi wa juzi wa mabao 8-1 dhidi ya Coastal ulifanya timu hiyo kujiwekea rekodi mpya…