Lionel Messi Aandaliwa Ofa Ya Kufuru Na Serikali Ya Saudia
SERIKALI ya Saudi Arabia imeandaa ofa kubwa zaidi katika historia ya soka lao ili kumnasa Lionel Messi.
Matajiri hao wanataka kutengeneza historia mpya kwenye ligi ya Saudia, wakitaka kuwa na miamba miwili ya soka duniani, ikiwemo…
