TFF Kumchukulia Hatua za Kinidhamu Kocha wa Yanga
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limesema litamchukulia hatua za Kinidhamu Kocha Mkuu wa Yanga Sc, Luc Eymael. Kocha huyo ambaye ni raia wa Ubelgiji anadaiwa kutoa matamshi ya kibaguzi hapo jana.
Uongozi wa Yanga…
