The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

madini

Wauza Madini Feki Wanaswa Sikonge

Mwanamke mmoja mkazi wa mkoani wa Arusha amekamatwa na Jeshi la Polisi katika stendi ya mabasi wilayani Sikonge Mkoani Tabora kwa tuhuma za kukutwa na madini feki aina ya Dhahabu waliyokuwa wakiwauzia wananchi kwa kishrikiana na dereva…

Mama Samia: JPM ni Baba wa Madini

MAKAMU wa Rais, Samia Suluhu Hassan, leo amefungua Kongamano la kimataifa la Uwekezaji katika Sekta ya Madini lenye lengo la kutangaza fursa za Uwekezaji katika Sekta za Madini ziliopo Nchini na kuwaunganisha pamoja Wachimbaji na watoa…

Watorosha Madini Waonywa

NAIBU Waziri wa Madini, Profesa Shukrani Manya, amewataka wachimbaji wadogo-wadogo nchini kuachana na tabia ya kutorosha madini na badala yake wafanye shughuli zao kwa kufuata sheria na utaratibu uliowekwa ili kuiwezesha nchi kuongeza…

Wanne Mbaroni Kukutwa na Madini

WAFANYABIASHARA wanne wa madini, Mohammed Innamula, Mubarack Mullas, Rivzi Yoonus (wote raia wa Sri Lanka) na Mtanzania mmoja, Mehboob Rattansi, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam kwa tuhuma za makosa…

Magufuli Ateua Baraza la Mawaziri

RAIS   John Magufuli, Desemba 5, 2020,  ameteua baraza la mawaziri ambapo orodha hiyo imesomwa   na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi. Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa ni Elias Kwandikwa,  Wizara Ofisi ya…

Anaswa Akitorosha Madini

MTU mmoja Khalifa Mohamed Kinyaka (51) anashikiliwa na jeshi la Polisi Mkoani Dodoma, kwa tuhuma za kutorosha na kusafirisha viroba sita vya madini vyenye uzito wa kilogramu 410.75. Kamanda wa Polisi Mkoani Dodoma Gilles…