Ratiba ya Mazishi Wanahabari Waliofariki kwa Ajali
Taarifa ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhandisi Robert Gabriel inasema kuwa baada ya Ibada Maalumu ya kuwaaga Marehemu wa ajali ya Maafisa Habari na Waandishi waliofariki Jumanne kukamilika katika Uwanja wa Nyamagana jijini Mwanza.…
