Milioni 40 Zamshusha Mbaraka Azam
Musa Mateja na Said Ally | CHAMPIONI JUMATATU
IMETHIBITIKA kuwa Klabu ya Azam imetumia milioni 40 kwa ajili ya kuipiku Yanga na kuinasa saini ya mshambuliaji wa Kagera Sugar, Mbaraka Yusuph ambaye ametua ndani ya kikosi hicho…
