Hatimaye Mwanafunzi Aliyepotea Mbeya Apatikana
Mwanafunzi Ester Noah Mwanyiru aliyepotea kwa muda wa siku 20 tangu asubuhi ya tarehe 18 Mei 2023 hatimaye amepatikana ndani ya masaa 24 tangu agizo la Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kutoka akimwelekeza mkuu wa mkoa wa Iringa, Juma Homera…
