The House of Social Media
gunners X
Browsing Tag

Mbeya City

Mbeya City Wamfuata Kabwili

UKISEMA wa nini wenzako wanajiuliza watampata lini. Hivyo ndivyo ilivyo kwa Mbeya City ambapo inaelezwa kuwa imepeleka ofa ya kumsajili kipa namba tatu wa Yanga, Ramadhan Kabwili. Chanzo kutoka Yanga, kimeliambia Spoti Xtra kuwa:…

Mrisho Ngassa Ajifua Na Pamba

ALIYEKUWA kiungo mshambuliaji wa timu ya Yanga ambaye kwa sasa anakipiga Mbeya City, Mrisho Ngassa, ameonekana akifanya mazoezi ya kujiweka fiti kuelekea ligi kuu msimu ujao akiwa na Pamba FC. Ngassa ambaye ni kati ya…