Mbowe Afunga Mjadala wa Lowassa, Amtaja Dkt. Slaa!
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amesema uamuzi uliofanywa na Waziri Mkuu wa zamani, Edward Ngoyai Lowassa wa kukihama chama hicho yalikuwa ni maamuzi yake binafsi.
Freeman Mbowe ametoa…
