Yanga: Tutaweka Rekodi…
Khadija Mngwai | Dar es salaam
KIUNGO wa Yanga, Haruna Niyonzima, raia wa Rwanda, ameeleza kuwa watapambana hadi tone la mwisho katika mechi yao dhidi ya MC Alger ya Algeria kwa kuwa wanahitaji kuweka rekodi katika mchezo huo.…
