Maxime: Mtibwa Kushuka Daraja ni Aibu Kubwa
NAHODHA na kocha wa zamani wa Mtibwa Sugar, Mecky Maxime amefunguka kuwa kama timu hiyo itashuka daraja, basi itakuwa ni aibu kubwa kwa kila mtu anayehusika na timu hiyo.
Maxime ambaye pia alikuwa kocha wa Kagera Sugar…
