Kagere Amalizana na Simba Licha ya Kwenda Misri Hatakuwa Sehemu ya Kikosi Msimu Ujao
INAELEZWA kuwa, straika wa Simba, Meddie Kagere, tayari amemalizana na uongozi wa klabu hiyo kwa baadhi ya mambo ambapo hatakuwa sehemu ya kikosi hicho msimu ujao, licha ya kusafiri na wenzake kwenda kambini Misri.
Kagere…
