MELI YA JESHI LA CHINA KUTOA MATIBABU NCHINI
MELI ya jeshi la majini kutoka China (Navy) na ambayo ni ya pili kwa ukubwa duniani, imeingia nchini ili kutoa matibabu ya bure kwa siku tano kuanzia kesho hadi Ijumaa Novemba 24 mwaka huu.
…
