The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

membe

Membe Amuunga Mkono Rais Samia

ALIYEKUWA mgombea urais kwa tiketi ACT Wazalendo katika uchaguzi mkuu wa 2020, Benard Membe amesema yuko njiani kurudi mahali fulani ambapo hakupataja, huku akisema anasubiri uamuzi wa shauri lake lililoko mahakamani hapo Oktoba 12…

Membe Abwaga Manyaga ACT-Wazalendo

ALIYEKUWA mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya chama cha ACT-Wazalendo na mshauri wa chama hicho, Bernard Membe, ametangaza rasmi jana Desemba Mosi kujiuzulu nafasi zake zote ndani ya chama hicho. …

Sakata la Membe Kudaiwa Kuondoka ACT-Wazalendo

BAADA ya kusambaa kwa taarifa mitandaoni zinazodai kwamba aliyekuwa mgombea urais wa chama cha ACT-Wazalendo, Bernard Membe, kuwa atajitoa katika chama hicho Januari Mosi, mwakani, uongozi wa chama hicho umesema haupo tayari kuzungumzia…

Mzimu wa Lowassa Wamtafuna Membe

DAR: WAKATI zikiwa zimebaki siku 25 kabla ya kufanyika kwa uchaguzi mkuu mwaka huu, upepo wa kisiasa kwa mgombea urais wa Chama cha ACT Wazalendo, Bernard Membe umemwendea kombo, baada ya viongozi wa chama hicho, kutangaza kumuunga…

Membe Achukua Fomu ya Urais NEC

Mgombea wa kiti cha Urais kwa tiketi ya chama cha ACT Wazalendo Bernard Membe amechukua fomu ya kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo Agosti 07, 2020 katika Makao Makuu ya Tume ya Uchaguzi (NEC) Dodoma. Membe…

Membe Akoleza Mjadala Urais 2020

HATIMAYE aliyekuwa kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bernard Membe jana amepokelewa rasmi ndani ya Chama cha ACT Wazalendo na kuzidisha mjadala kuhusu ushindani wa nafasi ya urais kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka huu. Membe…

Membe Achukua Fomu Kuwania Urais

WAZIRI mstaafu wa Mambo ya Nje, Bernard Membe,  leo mchana  Ijumaa, Julai 17, 2020, amechukua fomu ya kugombea urais kupitia chama cha ACT-WAZALENDO ikiwa ni siku moja tu baada ya kupokewa rasmi kwenye hicho. Amechukua fomu hiyo…

Hatimaye Membe Asalim Amri CCM

ALIYEKUWA kuwa waziri wa mambo ya nje ya nchi wa Tanzania,na kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Benard Membe,amerejesha kadi ya uanachama wa Chama hicho. Membe amerejesha kadi hiyo leo Jumatatu tarehe 6 Julai 2020 nyumbani kwake Rondo…

Urais 2020 Wamponza Membe

WINGU zito limetanda ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutokana na Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020 ambao sasa umeanza kukitikisa chama hicho na kukilazimu kuanza harakati za kuwashughulikia wale wanaokwenda kinyume na taratibu za chama.…