Wanaswa na Vipande 13 vya Meno ya Tembo Wakisaka Wateja
KIKOSI maalum ya kupambana na ujangili katika eneo la ikolojia ya Tarangire – Manyara, kimewakamata watu wawili katika kijiji cha Moyaka wilaya ya Babati mkoani Manyara wakiuza vipande 13 vya meno ya tembo.
Mkuu…
